UJENZI NA UKARABATI SHULE YA MSINGI NANDAGALA, RUANGWA.

Tanzania Commercial Bank imemkabidhi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) vyumba 11 vya madarasa, ofisi 2 za waalimu, samani na chumba maalum cha wasichana wa kike katika Shule ya Msingi Nandagala iliyopo katika kijiji cha Nandagala B Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Mradi uliogharimu Milioni 164.9 inayojumuisha ujenzi pamoja na ukarabati.

Location

Head Office 10th LAPF Towers,
Bagamoyo Road, Opp Makumbusho Village,
Kijitonyama,
P.O BOX 9300, Dar es salaam

Call Center

+255 765 767 683
+255 788 767 683
+255 658 767 683
+255 773 767 683

Email Us

info@tcbbank.co.tz,
callcentre@tcbbank.co.tz,